المدة الزمنية 3:58

ASKARI POLISI AUWAWA NA MAJAMBAZI KWA KUPIGWA RISASI TAZARA DSM

بواسطة ITV Tanzania
144 594 مشاهدة
0
174
تم نشره في 2013/02/11

Askari wa jeshi la polisi ameuwawa na majambazi baada ya kupigwa risasi ya kichwani huku wengine wawili wakiwa katika hali mbaya baada ya kujeruhiwa vibaya katika eneo la Mchicha Tazara jijini Dar es salaam.

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 16