@khalifasultan2677منذ 4 سنواتAisee Well Said! Umeongea Vitu Vipo Sawa Sana Mzee Wa Upako! Tusijenge Ukabila Wala Udini, 25
@
@wilbertkigulu282منذ 4 سنواتNimekuelewa Sana Mzee wa upako somo jema kwa jamii! Ubarikiwe sanaa! 7
@
@awadhirajabu6833منذ 4 سنواتMzee Sema Yote Lakini Ili Kundi Lenye Kubadili Dini Kwasababu Ya Kuoa Mke Awana Hata Udini Pumbavu Zao Badili Dini Kwasababu Ya Kusoma Neno Bila Kizingiti id="hidden1" class="buttons"> Cha Mke Awa Watu Wako Hata Tulipo Wapo Wamebadili Dini Kwasababu Ya K.Yani K.Inamtaka Abadili Dini Nae Ufanya Ivo Yani Mtu Anabadili Dini Sasa Wakizinguana Wakiachana Analudi Kwenye Imani Yake Ya Zamani Sasa Watu Awa Kweli Wanakua Na Imani Au Kufuru Tu Mke Ukifa Unamuacha Akuna Mke Ambae Atakubali Ukifa Nae Mfukiwe Pamoja Kabulini Akuna Sasa Kwanini Ubadili Dini Yako Imani Yako Kwasababu Ya Tamaa Zako Za Mwili Juu Yake Makubwa Aya Watu Wengine Sasa Sijui Wako Na Makengeza Mioyoni Mwao Akilini Mwao Eti Mtu Akivaa Kanzu Na Kilemba Kikimkaa Eti Haa Uyu Uislamu Umemkaa Umempendeza Aya Mawazo Finyu Sana Dini Ni Imani Ilio Moyoni Nasio Inje Kanzu Na Kilemba Ninguo Tu Sema Kwakua Watu Waliokua Wakizivaa Ndio Waanzilishi Wa Imani Iyo Iliotua Kwao Lakini Aimanishi Kanzu Au Kilemba Mtu Akivaa Basi Mtu Uyo Nimwenye Imani Kubwa Apana Imani Ni Sili Na Matendo Pia We Unajuwa Wazi Mtu Alifanya Matendo Inje Ya Imani Mnaona Wazi Lakini Mnasifu Ujinga Mfano Tendo La Kubadili Dini Kisa Mke Ni Tendo Baya Sana Yani Unabadili Dini Kisa Mke Sasa Apo Wewe Utakua Unamuabudu Mkeo Na Sio Mungu Wako Uyu Jamaa Sio Yeye Tu Bali Ili Kundi La Ngono Liko Kubwa Sasaivi Yani Shetani Kashika Vichwa Vingi Sana Kaline Hi Mke Ukifa Uzikwi Nae Tena Usiombe Huumwe Huugue Ataliwa Mbere Yako Sasa Sijui Utamlaumu Mungu Apo Pindi Akiliwa Uroda Ukiwa Unaona Na Uko Kitandani Uwezi Kumlaumu Mungu Wakati Mkeo Ndie Mungu Wako Watu Tuishi Lakini Vifo Vipo Na Kila Mtu Adumishe Imani Yake Nakama Unataka Kuama Imani Yako Kwenda Upande Wa Pili Basi Soma Sana Kwa Imani Ili Upate Jibu Sahihi Ili Hata Ukufa Uamini Imani Yako Ilio Mbere Yako Utayokufa Nao Ukiwa Ndani Yake ....وسعت
@
@fatmaothmanally9416منذ 4 سنواتMasha Allah umeongea maneno mazuri kwel 2
@
@zuberykharoub6868منذ 4 سنواتmzeee wa upako nakuelewaga sana. gonga like kama unamkubaki anton lusekelo(mzee wa upako) ❤❤❤ 3
@
@allymohamed8658منذ 4 سنواتMzee wa upako nimekuelewa, unabusara ya hali ya juu, mungu akutie nguvu na maisha malefu 6
@
@user-cr9mf7dg4kمنذ 4 سنواتMwenyez mungu amjalie asimamie dini yake vzr
@
@nassormakwaya5970منذ 4 سنواتAllah akuzidishie khekima na busara mzee wa upako pia akupe umri mref wenye kher na baraka
@
@joycenicodemus.2232منذ 4 سنواتTumekuelewa mzee waupako.ubarikiwe sana
@
@namwanjafakii8156منذ 4 سنواتPaster mm muislam,,,,,lakn Upo good xana,,,,ama keel biblia unaijua,,,,ubarikiwe ww ni mwelevu xana,,,,,,, 4
@
@elisantej5512منذ 4 سنواتMzee wa upako nimefurahi kuona afya yako imerudi kama zamani. Yesu ni mkuu 6
@
@daudimichael7338منذ 4 سنواتHongera sana mzee wa upako kwa busara zako. Ni kweli Mungu ameweka njia mbili, ya upotevuni na ya uzimani na ametuachia uhuru wa kuchagua.
@
@rajahally9936منذ 4 سنواتSawa baba paroko umeongea lamaana hongera Sanaa kiongezi wanguu wadini
@
@andrewmussa9367منذ 4 سنواتLeo,ndo nmeona umeongea point sana ,big up sana 2
@
@dbless310منذ 4 سنواتKazungumza maneno mazuri sana kwa mala ya mwanza 20
@
@gregorychogelo2013منذ 4 سنواتJamaa angekua hapigi vi sanitizer angekua na akili zaidi ya hapa. 6
@
@akramissa3393منذ 4 سنواتHuyu mzee kwa Mara yakwanza nimekuelewa kaongea point sana 7
@
@josephatjordan2150منذ 4 سنواتWnaoelewa hapa ni wale wenye IQ kubwa tu au akili nyingi na ambao hawakulisisha dini kama kabila!!dini n uhuru na haki!!!Umeongea point na bila kuchonganisha umetoa uhuru moyo kwa kila mtu 22
@
@khamysamursally5932منذ 4 سنواتMm huwa nakupenda sanaaa Mungu akusimamie ktk harakati zako
@
@wazirmlogi7532منذ 4 سنواتUmeongea point sn,yan ni maneno yasiyo na ubaguzi 5
@
@mohammedabdallah6390منذ 4 سنواتMzee wa Upako kunywa fanta moja nakuja kulipa 23
@
@tibakisunnahnaasili6250منذ 4 سنواتAssalaam Allaykum Warahmma TuLlaah Wabarakatuh Ndg Zng Mimi ni Doctor Wa Dawa Za Asili/Kisunnah ninatibu Magonjwa yafuatayo. 1-U.T.I id="hidden4" class="buttons"> sugu 2-Maralia sugu 3-Kichocho 4-Kipanda USO 5-Kisukari 6-Saratani/Cancer 7-Sikoseli 8-Amiba 9-Vidonda Vya Tumbo 10- Tumbo kujaa Gesi 11- Pumu sugu 12- Pressure/Presha 13-Maumivu ya Miguu 14- Miguu kuvimba 15- Miguu kuwaka moto 16- Nguvu Za Kiume 17- Nguvu Za kike 18-Kukosa Hamu ya Tendo. 19- Hasira Bila Sababu 20- Figo 21- Kutoa Jini Mahaba 22- Kutoa Mashetani 23-Kuombewa Duaa Ktk Familia Kuwe na Utulivu 24- Mtoto Kusahausahau 25- Mgongo kuuma 26-Kiuno kuuma Saana 27- Macho kuuma 28- Mafua Sugu 29- Kikohozi Sugu 30-Bawasiri 31- Kukosa Hamu ya kula 32-Kifua Kubana 33- Gono 34- Kaswende 35- Kisonono 36- Kuharisha 37- Kuondoa Chunusi 38- Kutoa Sihri Mwilini 39- Koo Kuuma 40- Na Magonjwa mengi pia tunatibu 41-Kukuuza Uume Kibamia 42-Mafuta Mazuri Ya Nywele 43-Kumbaku (Kuota Vinyama Puani) 44-Na Vinyama kwenye Koo 45-Fungus Sehemu Za Siri Mwanamme Na Mwanamke 46-PID kwa Wanawake 47-Kuzuia Chuma Ulete Pia Magonjwa Mengi Tunatibu Kokote Ukihitaji Dawa Inafka kwa Uwezo Wa ALLAAH ﷻ Mawasiliano ni +255655245080WhatsApp +255786153977 USHIRIKINA KWETU MWIKO!!!!....وسعت
@
@farhatfarhat3816منذ 4 سنواتNimekupenda sana ujapendelea upande mmoja bgp sana
@
@maalimrajabu1634منذ 4 سنواتManeno ya mwenye akili hayo hongera sana mchungaji
@
@ramadhaniabdi9530منذ 4 سنواتKama Ili Ni Jambo La Kwel Bhas Mungu Amsimamie Vyema BenPol Na Kama Ni Kiki Bhas Mungu Atamlipa 13
@
@zkiduku4068منذ 4 سنواتNi kweli kila mtu na imani yake maana sote Mungu wetu ni mmoja 24
@
@sharifabdul6085منذ 4 سنواتSafi sana mzee wa upako,na tz ni nchi huru na haifungamani na dini yyte ispokua raia wake wana dini,kwa hiyo maamuzi ni yako kuchagua dini uionayo itakupeleka ktk kupata salama hereafter
@
@ndekemwaifyusi8499منذ 4 سنواتMzee wa upako huwa nakuelewa Sana. Uelewa wako upo tofauti.
@
@pericykiko6198منذ 4 سنواتMm unaniudhi tu hio cheni yako usipoivaa utaishika Ina Nini hio?
@
@saidsalum6101منذ 4 سنواتKweli mzee waupako umeongea vitu vichache sana ila umeeleweka vizuli sana 1
@
@hilarykinyekile7433منذ 4 سنواتTunamuomba Mungu mmoja,Hakuna shida hapo 5
@
@afizuboy3433منذ 4 سنواتBen pol walah aujapotea.upo katikadini sahih ilajitahidisana ujue kusoma kuran 7
@
@jumason142منذ 4 سنواتMzee wa upako umeongea point Sana kweli we ni mkomavu kwenye dini hongera Sana 5
@
@florianhenry7198منذ 4 سنواتPoint taken kumbe kabla hujanwa pombe unakuwa na busala
@
@guledomary2812منذ 4 سنواتMzee wa upako umeongea vizuri Sana ..suala la kubadili dini Ni hiari ya mtu hivyo isiwe sababu ya kumkashifu mtu kwa maamuzi yake..pia inajenga umoja katika jamii. 1
@
@aloycekiwia8613منذ 4 سنواتAfadhali aanze Kuimba Qaswida aachane na miziki ya Kidunia. Uislam hautaki Bongo fleva. 2
@
@luseProمنذ 4 سنواتKunywa bia mbili hapo nakuja kulipaa umeongea point.. 1
@
@kibasamohamedi8029منذ 4 سنواتUmeongea point agiza wine nalipa Mimi, utantumia namba ya kulipa pesa 1
@
@josephphares5334منذ 4 سنواتMchungaji unaongea Utopolo,acha kumpongeza mtu aliyekengeuka. 1
@
@humairamajengo6616منذ 4 سنواتMleten Benpol mwenyew aseme Maana anatuchanganya huko insta
@
@sawdaasawdaa7903منذ 4 سنواتMuisilamu anaongozwa na roho .sasa kwanini tusijenge umoja na Allah kasema tusilazimishi dini ili tujenge tuishi kwzkushurikiyana iki na kile ila ya dini id="hidden7" class="buttons"> anaongoza mwenye enzi Allah anasema ishi tuishi nanyi kwa wema ila kwa maisha ya kawaida ki dini kilamu aabudu anaye mutegemeya. Dini ni moja ya uisilamu ....وسعت
@yangoshatv5327منذ 4 سنواتamna kabisa ben kakosea mno kutafuta ukoo mpya kidini alikuwa akiwaona waisilamu wamevaa kanz anaumia sana leo kaivaa wazaz umewacha ben
@
@rehemadearing3356منذ 4 سنواتNimependa point yake japo mimi ni mkiristo.
@
@mwajumayunus419منذ 4 سنواتMzee nimekuona anabusara mno maana wengine yangewatoka maneno
@
@najma3268منذ 4 سنواتMimi huwa naamini munguwetu ni mmoja, dini ni kila mtu anaona hii ndo sahihi ndo ntafika salama, lakin , kinachokufikisha ni je unaamini kuwa mungu yupo, id="hidden8" class="buttons"> na unamuomba , haijalishi unaomba kwa dini gani au lugha gani mungu wetu husikia popote pale ....وسعت
@
@ibrahimmchucha3034منذ 4 سنواتNimeelewa apo namna hiyo mzee wa upako Safii iyo nzuri bila chuki
@
@emmadora7848منذ 4 سنواتAngekuwa katoka uisilamu na kaenda ukristo ,mzee ungeongea maneno hayohayo lakini hawa watoa pongezi ungewaona sio kwa maneno makali wangetoa ,ungesikia Mara msiba, mara hasara binadamu hawa mhh
@
@kiatuمنذ 4 سنواتNi kweli kabisa sababu ya kubadili dini ni vyema kama sio shinikizo
@
@youtub8320منذ 4 سنواتYaani huyu mtu na mimi mawazo yetu nikama mapacha huwa anaongea kitu ninachokiwaza mungu akulinde lusekelo
@
@mkalijaribu870منذ 4 سنواتWachungaji wengi ila huyu jamaa hua namkubali sana japo na mapungufu yake hua anajua kutengeneza peace na harmony kikubwa anachoangalia hua ni ile hali id="hidden10" class="buttons"> ya mtu kumjua Mungu kwa imani ya moyo na nafsi yake sio kubabaisha babaisha ....وسعت
@
@newttechog75منذ 4 سنواتWe mzeee iyo vita ya kidini itatokea wapi tz uschochee bwana
@
@kaifaiddy9618منذ 4 سنواتMzee wa upako ni mtu mwenye akili nzuri kulingana na nafasi yake napia ana hekma 1
@
@KhadijaKhadija-cv9dbمنذ 4 سنواتMungu anisaidie mm kwakweli maan hp nilipo nipo katikati
@
@nasserm.nasser5087منذ 4 سنواتWatu maarufu na wenye utajiri ni rahisi kuwa waislamu maana hawana pressure ya kufuata dini za wazazi/jamii zao. Sancho alisilimu mwaka huu pia Ni id="hidden11" class="buttons"> sawa na ulaya, wazungu wanaslimu kwa wingi sana maana ni watu huru wanaoamua mambo yao bila wazazi wao kuingilia Wamechoka kufuata dini za urongo ambaxo haziendani na nafsi na maumbile yao ....وسعت
@
@josephmusagasa5566منذ 4 سنواتYa Mungu mpe Mungu na ya Kaisari mpe Kaisari,kuwa wazi mzee wa upako,usiongee kwa kupotosha
6
1-U.T.I id="hidden4" class="buttons"> sugu
2-Maralia sugu
3-Kichocho
4-Kipanda USO
5-Kisukari
6-Saratani/Cancer
7-Sikoseli
8-Amiba
9-Vidonda Vya Tumbo
10- Tumbo kujaa Gesi
11- Pumu sugu
12- Pressure/Presha
13-Maumivu ya Miguu
14- Miguu kuvimba
15- Miguu kuwaka moto
16- Nguvu Za Kiume
17- Nguvu Za kike
18-Kukosa Hamu ya Tendo.
19- Hasira Bila Sababu
20- Figo
21- Kutoa Jini Mahaba
22- Kutoa Mashetani
23-Kuombewa Duaa Ktk Familia Kuwe na Utulivu
24- Mtoto Kusahausahau
25- Mgongo kuuma
26-Kiuno kuuma Saana
27- Macho kuuma
28- Mafua Sugu
29- Kikohozi Sugu
30-Bawasiri
31- Kukosa Hamu ya kula
32-Kifua Kubana
33- Gono
34- Kaswende
35- Kisonono
36- Kuharisha
37- Kuondoa Chunusi
38- Kutoa Sihri Mwilini
39- Koo Kuuma
40- Na Magonjwa mengi pia tunatibu
41-Kukuuza Uume Kibamia
42-Mafuta Mazuri Ya Nywele
43-Kumbaku (Kuota Vinyama Puani)
44-Na Vinyama kwenye Koo
45-Fungus Sehemu Za Siri Mwanamme Na Mwanamke
46-PID kwa Wanawake
47-Kuzuia Chuma Ulete
Pia Magonjwa Mengi Tunatibu Kokote Ukihitaji Dawa Inafka kwa Uwezo Wa ALLAAH ﷻ
Mawasiliano ni
+255655245080 WhatsApp
+255786153977
USHIRIKINA KWETU MWIKO!!!! ....وسعت
Ni id="hidden11" class="buttons"> sawa na ulaya, wazungu wanaslimu kwa wingi sana maana ni watu huru wanaoamua mambo yao bila wazazi wao kuingilia
Wamechoka kufuata dini za urongo ambaxo haziendani na nafsi na maumbile yao ....وسعت