المدة الزمنية 2:30

ZAIDI YA KILO 28 YA DAWA ZA KULEVYA ZIMETEKETEZWA

بواسطة Zbc Zanzibar
157 مشاهدة
0
1
تم نشره في 2021/06/29

Zaidi ya kilo 28 ya Dawa za kulevya zimeteketezwa na Tume ya Kitaifa ya kuratibu na kudhibiti Dawa za kulevya kufuatia kukamilika kwa Kesi 41 za Dawa hizo zilizohukumiwa katika Mahakama kuu Vuga Mjini Zanzibar. #zbctvonline#zbczanzibar

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 0