المدة الزمنية 13:38

DKT MWINYI NATOA ONYO LEO / HATUA KALI KUCHUKULIWA / KUNA WATU HAWAJABADILIKA

بواسطة KTV TZ ONLINE
16 881 مشاهدة
0
120
تم نشره في 2021/06/23

Dk. Mwinyi amesema hayo leo katika kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, katika hafla iliofanyika Ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdul-wakil, Kikwajuni Jijini Zanzibar. Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote. Follow Ktv Tz Online Facebook | KTV TZ ONLINE INSTAGRAM |@ktv_tz_online Wasiliana nasi kupitia number +255 625 323 932 Ktv Tz Online Journalists cc: Sadia Rashid cc: Sauti Byego cc: Maryam Busara Camera Department" Dadi Ali Omar (OJ) Nassor Shaibu Abdallah Juma Editors: Juma Maulid Dadi Ali Video Zingine: Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima - Ali Kiba akiwa Oman /watch/gP9ye7QajQQay /watch/Y9mrg7gbcsMbr

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 71
  • @
    @mauali3188منذ 3 سنوات Waowaji wakubwa hamtoendele maisha hatukusameheni kwa kutulia ndugu zetu nyote ccm 2
  • @
    @mwana4599منذ 3 سنوات Wooow. Hongerah sana na asante sana Mheshimiwa Rais.
  • @
    @faridimohammed4823منذ 3 سنوات Mzee tatizo maneno mengit, hujengi bandari wala ufukwe, wala hujengi barabara manenot kilacku, hatujaona hatamradi mmoja, mazuulia yamsikitin alhamdulillah, id="hidden1" class="buttons"> musitudanganye ahadi nideni, انملمرء حادثمبعدح، فكل خير خديسلمنوحاkazikwenu ....وسعت 3
  • @
    @ebrahimosman5477منذ 3 سنوات Usiwalee waokua hawataki kibadilika wamalize tu inshaa Allah
  • @
    @faisalmohamed2746منذ 3 سنوات Unamfanyia kejeli kiongozi ambaye anamsujudia Allah ktk msikiti
  • @
    @jifunzemengi1620منذ 3 سنوات Assalaam alaykym naomba muangalie hilo tangazo haliendani na maadili yetu
  • @
    @salamakhamis8092منذ 3 سنوات Jamani yote Tisa kumi nihizi barakoa nikwaajili ya Korona au ndio mtindo wakisasa?? 1
  • @
    @mosaidi2633منذ 3 سنوات Waafrika ni tabu ,jaribu kuwaongezea mshahara mara mbili ili uwapime ubadhirifu wao 3
  • @
    @mrdullayo1651منذ 3 سنوات Hongera Rais mwinyi jitahidi na majukumu yako mungu atakujaalia na sisi typo nyuma yako
  • @
    @stonetown578منذ 3 سنوات Allah akulinde mh. Raisi lkn humo makazini wafanyakazi ni majeuri sana hasa zrb.
  • @
    @mussajuma97منذ 3 سنوات Waonde hao wanatuchelewesha kwenda mbele kwenye uchumi wa kijani. 1
  • @
    @ulipoulipotupo7564منذ 3 سنوات Kama mageuzi ulito yafanya kuwa watu pemba na unguja tambua zambi za mþu muwaji ata akitubu aina toba asa kwa kuuwa kwa makusudi
  • @
    @royaltourspemba7301منذ 3 سنوات Mbona Pemba Rais haji aliahidi kila linalofanyika unguja na PEMBA lifanyike 5
  • @
    @samirahassan3212منذ 3 سنوات naww tushachoka na hadisi zako za sungura na ndizi fukuza smz imejaa majambazi ya pesa za uma
  • @
    @blueeconomy7208منذ 3 سنوات Hussen Mwinyi na Mfalme wa Zanzibar
    Insha'Allah
  • @
    @samirahassan3212منذ 3 سنوات mm ni ccm ila natakakukubari maneno ya wapinzani' punda ndiowalewale wanabadilisha soji tu
  • @
    @ismailjuma3692منذ 3 سنوات Yaani iko hivi, maneno matam kama asali, vitendo vichungu kama shubili.
  • @
    @faisalmohamed2746منذ 3 سنوات Watu kuweni na subra maneno machafu hayatasaida kitu ni kukupa dhambi tu muda bado hata mtoto miezi Minane ndio anatambaa hakuja Majibu kuleta maendeleo inahitaji tuwe na dhana nzuri kwa kiongozi
  • @
    @alishiyaalitaqwa5248منذ 3 سنوات Najeuri muheshimiwa watumishi wana jeuri sana ukifuata huduma unaweza kukata tamaa kwa maneno yao machafu wanayo tujibu na zarau 1
  • @
    @DrBasinda8منذ 3 سنوات Raisi anajitahid ila watu alowachagua kufanya nao kazi ndio wanamuangusha .sio wawajibikaji wala waadilifu mabadiliko hayawez kuletwa na mtu mmoja
  • @
    @user-go3bk6wr8uمنذ 3 سنوات Hana ishu wewe rahisi kama sheni ila wewe umejaliwa domo lako nyumba ya maneno tu. 2
  • @
    @king-uw8juمنذ 3 سنوات Hukuchaguliwa na wazanzibari umechaguliwa na ZEC 2
  • @
    @muudathirsadru821منذ 3 سنوات Ningemuimba mh Rais aregeze kdg hali imekuwa ngumu sana zanzibar vitu vinapanda bei kila kukicha BLUE ECONOMIC IT KILLS US
  • @
    @patimabilali7820منذ 3 سنوات Ngom imezid kuwa ngumu wanawake kma midume wanavyohaswa kazi tena za matofali n vibaruwa atar sox Union fek
  • @
    @kreamagdfsa1697منذ 3 سنوات Ukiona mtu haeleweki fukuza kazi maana hizo ni dharau kwa sababu wanajua majukumu yao pia wao sio watoto kama kila leo wapewe onyo inachosha kwa kweli 1
  • @
    @jituakilimali15منذ 3 سنوات Ndugu Raisi punguza ukubwa wa baraza la mawaziri huitaji mawaziri katika za raisi wala makamo wa raisi huko ni kutumia pesa zetu bila Ya muhimu wabaki waziri kila wizara
  • @
    @dinnahwمنذ 3 سنوات Rais wetu. Hebu fanya uende hospital ya Mnazimoja kwa wazazi hasa kisha uje twambia yaendayo. Pia watoto wa skuli ikiwa hawajui kusoma kiswahili wataendeleaje id="hidden5" class="buttons"> na masomo ya juu ambayo ni ya kiingereza? Wayajua kuwa kuna corruption ila hatuoni kinachofanika hivi tukamfufue Magufuli aje weka nchi sawa? ....وسعت
  • @
    @gangmore9091منذ 3 سنوات Mwizi hawezi kumlinda mwezake dhulma hailetii maendeleo munafanya dhulma kutoa roho z watu mutegeme kufanya maendeleo nyinyi bila kufanya haki kuingia id="hidden6" class="buttons"> kwenye madaraka maisha mutakua munakula jasho la watu tunataka mamlaka kamili ....وسعت
  • @
    @fathiyasalim3946منذ 3 سنوات Tatizo walio wengi hawajakuchagua kwa kura nyingi. Ni mapinduzi tu ndio yalokuweka. Mwinyi kuwa mkweli huoni taabu kusema umechaguliwa? 6
  • @
    @salumnassor6555منذ 3 سنوات hawabadiliki hao mh Raisi Mazali hakuna hata mmoja waliochukuliwa hatua ya ubadhirifu Wa mali ya umma na wewe umesema hufukuwi makaburu , kwa iyo hawaogopi id="hidden7" class="buttons"> hao, kiufupi ebu wale wote waliosimamishwaa kazi kwa ubadhirifuu wa mabilioni ya fedha za umma ubu wawekwe kizuizini na wachukuliwe hatua ya kuhujumu uchumii na wapokonywe mali na kila kitu chao, utizame kama hawatobadilika watendaji ....وسعت
  • @
    @rashidally1149منذ 3 سنوات Naona unawafuga tu hao mafisadi kila siku utachukua hatua sahv miezi 8 sijui hio hatua itachukuliwa lini wanafunzi wanakosa mikopo na wanaopata mkopo hela id="hidden8" class="buttons"> haitoshi wakt Kuna watu wanachota hela kwa matonge tu Imani yetu kwako mpaka uchukue hatua kwa vitendo nasio kwa maneno tu ....وسعت 1
  • @
    @faridimohammed4823منذ 3 سنوات Mzee tatizo maneno mengit, hujengi bandari wala ufukwe, wala hujengi barabara manenot kilacku, hatujaona hatamradi mmoja, mazuulia yamsikitin alhamdulillah, id="hidden9" class="buttons"> musitudanganye ahadi nideni, انملمرء حادثمبعدح، فكل خير خديسلمنوحاkazikwenu ....وسعت 3
  • @
    @dinnahwمنذ 3 سنوات Rais wetu. Hebu fanya uende hospital ya Mnazimoja kwa wazazi hasa kisha uje twambia yaendayo. Pia watoto wa skuli ikiwa hawajui kusoma kiswahili wataendeleaje id="hidden13" class="buttons"> na masomo ya juu ambayo ni ya kiingereza? Wayajua kuwa kuna corruption ila hatuoni kinachofanika hivi tukamfufue Magufuli aje weka nchi sawa? ....وسعت
  • @
    @gangmore9091منذ 3 سنوات Mwizi hawezi kumlinda mwezake dhulma hailetii maendeleo munafanya dhulma kutoa roho z watu mutegeme kufanya maendeleo nyinyi bila kufanya haki kuingia id="hidden14" class="buttons"> kwenye madaraka maisha mutakua munakula jasho la watu tunataka mamlaka kamili ....وسعت
  • @
    @salumnassor6555منذ 3 سنوات hawabadiliki hao mh Raisi Mazali hakuna hata mmoja waliochukuliwa hatua ya ubadhirifu Wa mali ya umma na wewe umesema hufukuwi makaburu , kwa iyo hawaogopi id="hidden15" class="buttons"> hao, kiufupi ebu wale wote waliosimamishwaa kazi kwa ubadhirifuu wa mabilioni ya fedha za umma ubu wawekwe kizuizini na wachukuliwe hatua ya kuhujumu uchumii na wapokonywe mali na kila kitu chao, utizame kama hawatobadilika watendaji ....وسعت
  • @
    @rashidally1149منذ 3 سنوات Naona unawafuga tu hao mafisadi kila siku utachukua hatua sahv miezi 8 sijui hio hatua itachukuliwa lini wanafunzi wanakosa mikopo na wanaopata mkopo hela id="hidden16" class="buttons"> haitoshi wakt Kuna watu wanachota hela kwa matonge tu Imani yetu kwako mpaka uchukue hatua kwa vitendo nasio kwa maneno tu ....وسعت 1