المدة الزمنية 14:40

Ukweli kuhusu tatizo la BP na matibabu yake

بواسطة Topten Tv
49 514 مشاهدة
0
749
تم نشره في 2020/05/04

Kupitia video hii unakwenda kujifunza kwa kina kuhusu tatizo la Presha na jinsi ya kujitibia tatizo hilo ukiwa nyumbani kwako. .......................................................... Contact Us : +255676298270 ------------------------------------------------------------------------------- E-mail : toptenherbs@gmail.com ------------------------------------------------------------------------------- Instagram https://www.instagram.com/toptenherbs --------------------------------------------------------------------------------- Facebook https://web.facebook.com/toptentanzania --------------------------------------------------------------------------------- Website https://www.topten.co.tz -----------------------------------------------------------------------------------

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 189
  • @
    @rosemarry1274منذ 2 سنوات Hello Doctor, thanks for sharing wonderful recipe. Am praying for u
  • @
    @CatherineKabelege-te3yoقبل 8 أشهر Docta mm nakupenda sana natamani kila siku niwe nakusikiliza
  • @
    @maalimhussein8807منذ 4 سنوات Allah akufanyie wepesi katika kazi zako na akupe umri mrefu wa afya njema kabisa. Aaaamin 14
  • @
    @fatmaissa8343منذ 4 سنوات Nashuru sana kwa ushauri na tiba zako nzr. Mungu afya njema nguvu na akupe moyo wa upendo 6
  • @
    @lucymkenda4022منذ 4 سنوات Asante sana kaka endelea kueleza somo zuri sana 3
  • @
    @rizikinash8221منذ 4 سنوات Asante,kaka unaeleweka,elimuyako naikubali sana, ilinisaidia,mpaka sasa niko poa,umesaidia,wengi hatakama,hawasemi.asante.nilikuwa,natatizo,la magoti,nikakufuata,kwenye,somo,la id="hidden1" class="buttons"> magoto,nilipona,nikasahau,mpaka,sasa mimi ni mzima,kabisa. ....وسعت 1
  • @
    @chrispinamgala7816منذ 4 سنوات Thank for your nice health education b blessed. 1
  • @
    @aminahussein6303منذ 4 سنوات Dr samahani mimi matiti yananiuma sana 5
  • @
    @jonaskitiga9191منذ 4 سنوات Ni nini chanzo mapigo ya moyo kwenda mbio?
    Nini matibabu yake
    16
  • @
    @laurentkabembo6942منذ 3 سنوات Asante Sana docta. Mungu pia Aku Bariki.
  • @
    @kawtharalbarwani1337منذ 2 سنوات Asante doctor kwa mafundisho wakakat mungine tunaogopa tunaona ni ugonjwa
  • @
    @emanuelnonko8980العام الماضي asante sana brother naamini kazi unayoifanya ni ya mungu amekutuma kuokoa jamii ilofungwa kwenye utumwa mbaya sana wa madawa ya kemikali yanayouhalibu id="hidden2" class="buttons"> mfumo na mwili wa mwanadamu huku tukiaminishwa kuwa ni salama tu kiasi kwamba tiba zenye thamani zinapuuziwa na watu wanaangamizwa kwa kuyakosa maarifa da!! imebali ni Mungu tu. ....وسعت
  • @
    @marynjenga480منذ 3 سنوات Thank you daktari. Please teach on how to treat ugonjwa wa kisukari naturally. Looking forward. Thanks. Napenda mafundisho yako. 1
  • @
    @kuruthumushabani9535العام الماضي Asante San doctor Leo umenipa nguvu mpya
  • @
    @timeomar4422العام الماضي Asante mkufunzi umenipa nguvu Allah akufanyie wepesi mambo yako
  • @
    @mankasindato7896منذ 3 سنوات Duu. Asante Dr. Hii wengi tunaharibu hapoo. Ila ili la kulalahuwa na mimi malipendaga bila kujua kumbe nina pataga tiba.
  • @
    @marrychelesi574منذ 2 سنوات Asante sana doctar naanza sasa hivi nitaleta mrejesho
  • @
    @melinafesto5686منذ 4 سنوات hongera sana doctor nimekuelewa sana mungu akubariki sana 3
  • @
    @vascobenedict488منذ 4 سنوات Asante sana doctor mamdogo wangu amesumbuliwa na vidonda vya tumbo pamoja na presha kwa miaka zaidi ya saba, baada ya kupata somo hili nikamwelekeza atumie id="hidden3" class="buttons"> hii mbegu ya parachichi, Sasa hivi ananiita doctor kwasabb amepona mpaka anajisikia raha ....وسعت 10
  • @
    @lacksonmwakanema6799منذ 3 سنوات Asante mtaalam, nimekuelewa Sana. Asante sana
  • @
    @salomeomashibo1971منذ 3 سنوات hongera sana kuniondolea hofu barikiwa
  • @
    @sadikielkombe9117منذ 3 سنوات Ahsante Sana Kaka Rashid kwa elimu unayotoa
  • @
    @amadirispa8382منذ 4 سنوات Asante sana muunguzi kwa mafuzo yako game nipa moyo sana ubarikiwe kwa wingi karibu
  • @
    @naiisrael2953منذ 2 سنوات Asante sanaaa mno. Mungu akubariki sana
  • @
    @hebronsdaughter1661منذ 3 سنوات Duh asante sana hakika umeokoa wengi barikiwa
  • @
    @neemanavaranaa4672منذ 4 سنوات Je izi vidonge vya ferrous sulphate + folic acid table kwa mjamzito vinasaidia nn na vinamadhara gani please dr 2
  • @
    @godwinmwasamila5337العام الماضي Njooni ni kweli maji siku tatu ni kiboko siku ya pili tu miujiza unatokea Imani bila matendo imekufa,,
  • @
    @segolinetingo2916منذ 4 سنوات Mi Dr Nina pressure ambayo juzi nimepima ipo 152 kwa 110.mwanzo ilikuwa mpk 280 6
  • @
    @COMEDYMPYATVمنذ 2 سنوات Habari za saiz Doctor, Mbegu ya parachichi unaweka kiasigani kwenye uji na unachaganya kwenye uji wa ulezi au wa unga wa mahindi pia sukari unaweza ukaweka
  • @
    @mickyomary5215منذ 4 سنوات Asant Dr hakika wewe nimkomboz wawatu mungu akubariki 2
  • @
    @alisaid3251منذ 3 سنوات Napenda sana kuskia pressure, kisukari,ukimwi kua c ugonjwa. 1
  • @
    @zulfahzubeir5310منذ 2 سنوات Jaman mm presha yangu hailewek mara juu mara chini haielewek kabisa 1
  • @
    @neemanyomeye3405منذ 3 سنوات Asante sana kwa kukutufanulia maana hata mimi nina tatizo hill
  • @
    @ntakiruta4160منذ 4 سنوات Asante sana Doctor, kila kitu chote unakifahamu! Ongela sana
  • @
    @annefidelis6931منذ 4 سنوات Dr tunaomba utuambie nini tiba ya menopause? Lile jasho linatibiwa na nini lipungue ? 1
  • @
    @janetndanu7077منذ 4 سنوات Doctor hio dawa ya kuweka kwa uji nitaweka kiasi gani?
  • @
    @felisterlyanzile8037منذ 4 سنوات Doctor ubalikiwe sana maana naelimika mno
  • @
    @franciskajessy4468منذ 2 سنوات Wewe ni DR mzuri wengine wanaogopesha unaelezea vizuri 1
  • @
    @careencharlescharles9749منذ 4 سنوات kweli kabisa hata mimi nilipata ya chini na mwili wangu mdogo sana nikapewa dawa za kuongeza damu uko sahihi
  • @
    @naomijovin6960منذ 2 سنوات Doctar samahn me nina shida ya kushi2ka shituka hıı inasababisha na nini?
  • @
    @joyel4954منذ 2 سنوات Shukuran doctor, tusaidize namba zako kwakweli