المدة الزمنية 2:57

Ujenzi wa hospitali ya kushughulikia wagonjwa wa Corona waanza Nairobi

بواسطة Citizen TV Kenya
823 مشاهدة
0
0
تم نشره في 2020/07/20

Ujenzi wa hospitali yenye vitanda 150 umezinduliwa chini ya ushirikiano wa hospitali ya Nairobi na afisi ya umoja wa mataifa jijini Nairobi. Hospitali hiyo itakamilika baada ya muda wa miezi miwili huku Katibu msimamizi wa wizara ya afya Rashid Aman akisema itasaida mno kupunguza mzigo wa serikali haswa wakati huu ambapo wanatabiri kuwa idadi ya maambukizi ya virusi vya corona itakuwa juu zaidi ifikapo mwezi septemba

الفئة

عرض المزيد

تعليقات - 2