Mpenja Tv imefanya mahojiano na Kamisaa wa Mchezo wa Kagera Sugar Vs Simba Ndugu Nasib Mabrouk kuhusu sababu za mechi hiyo kuahirishwa.
.
Fungua video hii kupata habari kamili.
.
#simbasc #kagerasugar #mpenjatv #nbcpremierleague
الفئة
عرض المزيد
تعليقات - 101
@
@queenmwasanguti2370منذ 3 سنواتPoleni sana watani wetu, Mungu awarudishie Afya mapema, 7
@
@leonardkayolo7314منذ 3 سنواتPoleni sana wachezaji wetu wa Msimbazi. Mungu awajalie mpone soon. 2
@lwagamwakalinga8038منذ 3 سنواتMi si shabiki wa Simba lakini inpokuja suala la afya za watu ni vema tuwaombee kupona haraka. Namuomba Mungu wa mbinguni awaponye haraka watani zetu Simba. 9
@
@bettyzakayoukosaf8036منذ 3 سنواتJe nini maana ya kusajili makoro wameogopa Morrison bwalia kukosatu 1
@
@staralive9260منذ 3 سنواتHakuna aja ya kutuambia kuwa Tanzanll00
@
@paulm.9791منذ 3 سنواتMnasema wamekimbia na Kama ni kweli wanaumwa wapo serious ikitokea Yamatokea yakutokea mtasema nini. Ndugu msicheze na maisha ya watu , ni binadamu na id="hidden2" class="buttons"> wana familia Kama wewe , mafua yanaambukiza , mmoja akiugua nyumbani nyumba yote wanaumwa , so mnashangaa nini ? Haijawaji kukutokea? Hao Jamaa wapo kambini inawezekana sana mmoja kaambukiza wote … Coz wana share almost kila kitu … Mungu awaponye ....وسعت6
@
@xhinjikagawa5102منذ 3 سنواتWasipowalipa kazeni maana kama ni droo muliipata
@
@deusdeditknkunga6047منذ 3 سنواتSo, why on earth did Simba travel to. Kagera?
@meshajoni5662منذ 3 سنواتIngekuwa no yanga wenzetu mngetutukana sanaa,,ilakwakua,ninyie,sisi,tunawaombea,mpone ,
@
@nasskidy8196منذ 3 سنواتsasa kama yote yalikamilika si waje uwanjani
@
@lusajomwankusye602منذ 3 سنواتWalipeni wachezaji ahadi mliyo wahidi siku ya tar.11 ya watani wa jadi na malimbikizo yao 1
@
@asnatlayson3081منذ 3 سنواتAchen ujanja nyie sema mwamsubilia yanga matokeo yake kesho kwani s wamechanjwa chanjo kwaiyo haisaidii kitu 2
@
@bonifacefilbert7324منذ 3 سنواتkwani vilabu vina jumla ya wachezaji wangapi kinachopelekewa ulazima kuhailisha mchezo
@
@asnatlayson3081منذ 3 سنواتHakuna mgonjwa hapo sema tu mwataka mjue matokeo ya yanga hapo kesho ila hamna lolote nyie kwaiyo chanjo haisaidii kitu sasa chanjo niyann sasa
@
@nurdinmfamau3493منذ 3 سنواتSimba Inakikosi Cha Wachezaji Zaidi Ya 25 Au 32 Kwasababu Hizo Hazina Mashiko Wala Hoja Yakuhairisha Mechi. Wachezaji Wengine Wacheze. Wogan Tu. Au Ndio Mmeanza Kuupiga Mwingi. 1
@
@kelvinmapunda2589منذ 3 سنواتTunaomba na yanga nayo ihairishe kama ni season influenza bhc ligi zima isimame
@habibrwegoshora6624منذ 3 سنواتHUU NI UHUNI TU KAGERA WAPEWE POINT ZAO 3 . HII MALA PILI SASA TOKA LIGI IANZE
@
@ibrahimmtoni7570منذ 3 سنواتSimba ndo tabia yao wakiona ugumu kdg wanakimbia wanawaogopa hd kagera
@
@vailethkayombo19منذ 3 سنواتWajinga sana hao simba wanaofia muchuano huo ndooe maana wameugua gafla
@
@islafilnassibu1814منذ 3 سنواتWamechoka Wana ogopa ndany yapich wanaeza wakapoteza mchezo wanataka wapumzike kwanza
@
@paulm.9791منذ 3 سنواتMnasema wamekimbia na Kama ni kweli wanaumwa wapo serious ikitokea Yamatokea yakutokea mtasema nini. Ndugu msicheze na maisha ya watu , ni binadamu na id="hidden5" class="buttons"> wana familia Kama wewe , mafua yanaambukiza , mmoja akiugua nyumbani nyumba yote wanaumwa , so mnashangaa nini ? Haijawaji kukutokea? Hao Jamaa wapo kambini inawezekana sana mmoja kaambukiza wote … Coz wana share almost kila kitu … Mungu awaponye ....وسعت6
مقاطع الفيديو ذات الصلة على BREAKING NEWS: MECHI YA KAGERA NA SIMBA YAAHIRISHWA/SABABU HIZI HAPA MSIKIE KAMISAA WA MECHI HAPA: